MWANZO|USHIRIKA|TANZANIA|MAWASILIANO DeutschEnglishKisuaheli

Dr. Karl Schoepf amefariki asubuhi hii

2/1/2012
Dr. Karl Schoepf,mheshimiwa mwanaushirika wetu na mmoja wa waanzilishi wa Hospitali ya Mt. Fransisko amefariki asubuhi hii akiwa na umri wa miaka 93.
Mwenyezi Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi.