MWANZO|USHIRIKA|TANZANIA|MAWASILIANO DeutschEnglishKisuaheli

Daktari kutoka Tirol anayetoa huduma katika hospitali ya Mt. Fransisko

Mwanaushirika wetu Dr. Franz Josef Wilhelm, Mganga kutoka Oetz/ Tirol alifanya maamuzi baada ya kustaafu kwake, kutumia ujuzi na uzoefu wake wa wahanga wa moto, kwaajili ya kuwasaidia wagonjwa wa hospitali ya Mt. Fransisko.