Daktari kutoka Tirol anayetoa huduma katika hospitali ya Mt. Fransisko
Mwanaushirika wetu Dr. Franz Josef Wilhelm, Mganga kutoka Oetz/ Tirol alifanya maamuzi baada ya kustaafu kwake, kutumia ujuzi na uzoefu wake wa wahanga wa moto, kwaajili ya kuwasaidia wagonjwa wa hospitali ya Mt. Fransisko.
ki Ifakara
Ifakara, yenye Parokia ya Mt. Andreas na hospital ya Mt. Fransisco ipo umbali wa Km 480 kutoka Dar-es-Salaam katika maeneo ya ndani ya nchi.
Msaada kwaajili ya Hospitali ya Mt. Fransisko
Benki: Raiffeisen Bank Oberland,
A-6511 Zams
Mpokeaji: Verein "Ärzte für Ifakara"
Akaunti ya benki: 30783
Bank code: 36359
IBAN Code: AT963635900000030783
BIC Code: RZTIAT22359