MWANZO|USHIRIKA|TANZANIA|MAWASILIANO DeutschEnglishKisuaheli

Matukio

Kampeni ya Hisani "Africa shopping bags" ya kampuni ya MPreis
MPreis ni Kampuni inayoshughulika na biashara ya maduka makubwa ya bidhaa mbalimbali. Wateja huhitaji mifuko kwa kuwekea bidhaa wanazonunua. Mwaka huu pia Kampuni imekubali kutengeneza mifuko ambayo itauzwa kuchangia mahitaji ya umoja wetu. Kwa ukarimu wa wateja, takribani mifuko 300,000 iliuzwa mwaka uliopita na kukusanya Euro 40,000 kwa umoja wetu.
habari zaidi
Habari zaidi kuhusu MPreis

Page: 1 of 1 | Hits: 1 to 1 of 1